Maximo alishindwa, nani atamvumilia Boban?
Moja ya uamuzi mgumu uliofanywa na uongozi wa Klabu ya Simba ya Dar es Salaam, ni kumsimamisha mchezaji wake, Haruna Moshi ‘Boban’, kwa kosa la utovu wa nidhamu.
Moja ya uamuzi mgumu uliofanywa na uongozi wa Klabu ya Simba ya Dar es Salaam, ni kumsimamisha mchezaji wake, Haruna Moshi ‘Boban’, kwa kosa la utovu wa nidhamu.
Mapema Julai mwaka huu, nilikutana na mzee mstaafu kutoka moja ya wilaya za mkoani Iringa. Mzee huyu ambaye ndiyo kwanza amestaafu ualimu, nilimfahamu kwa njia ya simu kupitia kwa rafiki yangu. Haja ya mzee huyu ilikuwa tukutane nimsaidie kutafuta gari aina ya Hiace anunue.
Hatuhitaji ushahidi mwingine wa kutusaidia kutambua kuwa viongozi wetu ni kama wameshindwa kuliongoza Taifa letu. Rushwa na vurugu za kidini katika nchi yetu zilianza kama cheche za moto. Watawala (si viongozi) wakazipuuza. Wakaziacha, na sasa tunayaona matunda yake.
*Baadhi ya madereva, makondakta ni miungu watu
Usafiri wa daladala katika Jiji la Dar es Salaam siku hizi ni mithili ya mfupa unaoelekea kumshinda fisi. Baadhi ya madereva na makondakta ni miungu watu! Sijui wanakula pamoja na askari wa usalama barabarani (trafiki)?
Nadhani kila anayesoma maneno haya hii leo, anaweza kuona jinsi Baba wa Taifa alivyodhamiria kujenga nchi ya watu wenye hali ya usawa katika kila nyanja.
*Yajipanua hadi mataifa ya Zambia, Uganda
*Watoto wa wafanyakazi wasomeshwa bure
*Watumishi wapewa vifaa ujenzi wa nyumba
*Ni mali ya Watanzania kwa asilimia mia moja
Oktoba 10, mwaka huu, wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, walizuru viwanda vinavyomilikiwa na Kampuni ya Motisun Holdings Limited vilivyopo jijini Dar es Salaam.