NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Nilipata ajali ya kihistoria

“Kitaaluma mimi ni mwalimu wa kufundisha darasani; lakini kwa sababu ya ajali ya kihistoria nilijikuta nikiwa kiongozi wa mapambano ya kudai uhuru na baadaye kiongozi wa nchi yetu.”

 

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Read More

RATIBA YA AFCON 2013

Jumanne 29 Januari, 2013 Ethiopia vs Nigeria            saa 3:00 usiku Burkina Faso vs Zambia    saa 3:00 usiku Jumatano 30 Januari, 2013 Algeria vs Ivory Coast       saa 3:00 usiku Togo vs Tunisia                 saa 3:00 usiku

Read More

Huhitaji mtaji kuanzisha biashara!

Miaka ya karibuni, dhana ya ujasiriamali imeenea kwa kasi kubwa miongoni mwa wanajamii. Kwa sasa kila kona tunasikia ujasiriamali –  kanisani, mitaani, vyuoni na katika mikutano ya kisiasa kunahubiriwa ujasiriamali. Hata hivyo, kuna kibwagizo kinachojirudia kila zinapotajwa changamoto za ujasiriamali – ukosefu wa mitaji!

Read More