Nukuu ZA WIKI

Nyerere: Wafanyakazi wasinyonywe, waheshimiwe

“…wafanyakazi wa Tanzania wamelindwa wasinyonywe na matajiri wao, watu binafsi, na hata mashirika ya umma. Kila mfanyakazi apate heshima yake kama binadamu.”

Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere aliyasema haya kukemea unyonyaji dhidi ya wafanyakazi.

Read More

Waraka wa uchumi kwa wafanyakazi

Leo nina neno kwa wafanyakazi waliopo katika sekta mbalimbali za umma na za binafsi. Nimeamua kuandika waraka huu wa uchumi kwa wafanyakazi kutokana na sababu kuu tatu. Mosi, uwepo wa mbinyo wa kuongezeka kwa gharama za maisha ikilinganishwa na vipato halisi vya wafanyakazi.

Read More