Tunahitaji Rais dikteta-Msuya

Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa David Msuya amesema kwamba Tanzania kwa sasa inahitaji Rais mwenye uamuzi mgumu, mwenye kariba ya udikteta. Waziri Mkuu huyo mwenye rekodi ya aina yake ya kutumikia wadhifa huo kwa marais wawili wa awamu ya kwanza na ya pili, anasema, “Hayo ni mapinduzi yanatakiwa pia yafanyike ndani ya CCM.” “Rais na mwenyekiti…

Read More

Abood, Makalla, Shabiby ni wabunge hatari Moro

Wakati mauaji na uhasama kati ya wakulima na wafugaji yakishika kasi katika wilaya za Kilosa na Mvomero, Morogoro, wananchi wamewalalamikia wabunge wa mkoa huo kuwa wanahusika mgogoro huo, JAMHURI limeweza kuripoti.  Taarifa ambazo gazeti hili imezipata zinasema kwamba wananchi hao sasa wamekatishwa tamaa na mapigano yasiyokoma baina yao huku, yakiwanufaisha watu wachache wanaotoka nje ya…

Read More

Tumelogwa kuwa wanafiki

Awamu ya kwanza ya harambee ya ujenzi wa kituo cha yatima, shule ya sekondari na msikiti Patandi, Arumeru mkoani Arusha, imefana kwa kiwango kikubwa na kuwa miongoni mwa vielelezo muhimu vya kuuendeleza umoja na mshikamano wa Watanzania bila ya kujali madhehebu, rangi na dini. Hamasa iliyojitokeza katika viwanja vya Msikiti Mkuu wa Ijumaa jijini Arusha,…

Read More