Serikali yajipanga kudhibiti zebaki

Mkurugenzi wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Julius Ningu, amesema kuna haja kwa nchi kuweka mifumo thabiti ya kudhibiti vifaa mbalimbali vyenye madini ya zebaki. Dk. Ningu ameeleza hayo hivi karibuni jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua mkutano wa wadau, uliolenga kujadili na kuandaa mapendekezo ya Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia Matumizi…

Read More

Safari ya Dk. Magufuli Ikulu (2)

Mgombea Mwenza wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amegundua Watanzania wanahitaji mambo mengi tofauti na ilivyokuwa hapo awali. Katika mahojiano maalum yaliyofanyika wiki iliyopita Dar es Salaam, Samia anaeleza kuhusiana na kile alichokiona ikiwa ni pamoja na njia za kuondokana na kero hizo za wananchi wanaoonekana kuhitaji mabadiliko. Samia anasema kuna…

Read More

SAMIA: Sitakaa ofisini kusubiri kudanganywa

Mgombea Mwenza wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amegundua Watanzania wanahitaji mambo mengi tofauti na ilivyokuwa hapo awali. Katika mahojiano maalum yaliyofanyika wiki iliyopita Dar es Salaam, Samia anaeleza kuhusiana na kile alichokiona ikiwa ni pamoja na njia za kuondokana na kero hizo za wananchi wanaoonekana kuhitaji mabadiliko. Samia anasema kuna…

Read More

Wagombea wamesahau uzito wa mama, mtoto

Tatizo la vifo vya wajawazito na watoto wachanga Tanzania limekuwa likisababisha majonzi makubwa kwa jamii, ongezeko la watoto wa mitaani na hata kupungua kwa nguvu kazi ya Taifa. Ili Taifa changa kama Tanzania liweze kupiga hatua za haraka kimaendeleo, halina budi kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wake. Licha ya kuwa Tanzania ni nchi mwanachama…

Read More

Magufuli kumuiga Mutharika?

Kampeni za mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Magufuli, zinazoendelea kwa sasa zinaonesha kitu kimoja ambacho ni kama hakijatamkwa bayana. Nadhani hakijatamkwa kutokana na kuhofia kukwazwa katika hatua hizi za awali. Sababu pamoja na chama tawala, kuamini kwamba Dk. Magufuli ndiye anayefaa kukipeperushia bendera katika uchaguzi wa mwaka huu yeye anaonyesha kutokiamini…

Read More

Dhana ya mabadiliko

Siku hizi kunasikika neno mabadiliko. Kila upande watu wanalilia mabadiliko, kila kukicha kunasikika neno mabadiliko. Wazee tumeanza kujiuliza kwani neno mabadiliko limeletwa na chama cha siasa, au ni kilio cha wananchi wote tangu zamani? Kwanini limeibuka katika uchaguzi huu? Kwa mujibu wa historia ya nchi yetu hii, sisi wazee tuliokuwa tunasoma Tabora hapo zamani enzi…

Read More