Magufuli atumbua mapapa wa ‘unga’

Kasi ya Rais John Magufuli ya kutumbua majipu sasa imeanza kuvunja mtandao wa dawa za kulevya (unga) nchini, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Rais Magufuli ametoa maelekezo mahsusi kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga akielekeza kuwa anataka kuiona Tanzania isiyokuwa na wauzaji na watumiaji ‘unga’. Rais amenukuliwa akisema haiwezekani wauza unga wakawa na…

Read More

Wakenya wanavyoziua Serengeti, Loliondo

Baadhi ya wageni hao wamediriki kuendesha shughuli za ufugaji katika Hifadhi ya Taifa Serengeti (SENAPA), na kilimo katika vijiji vya Tarafa ya Loliondo. Matrekta mengi yanayotumiwa katika kilimo eneo la Loliondo yanatolewa Kenya. JAMHURI limepata majina zaidi ya 280 ya Wakenya wanaoishi Ngorongoro, ambao baadhi yao wamekimbia wakihofu uongozi mpya wa Serikali ya Awamu ya…

Read More

Watuhumiwa mauaji, ujangili watoroka

Mahabusu watatu wa kesi za mauji na ujangili wametoroka katika Kituo cha Polisi Meatu mkoani Simiyu. Polisi mkoani humo imethibitisha kuwapo kwa tukio hilo ;la Februari 19, mwaka huu. Watuhumiwa walitoroka baada ya kutoboa ukuta kwa kutumia ‘kitu chenye ncha kali’. Polisi saba waliokuwapo kituoni wakati wa tukio hilo, wanashikiliwa kwa mahojiano. Waliotoroka wametajwa kwa…

Read More

RC Makalla amaliza kilio Lokolova

Serikali mkoani Kilimanjaro imekabidhi ekari 2,470 kwa Chama cha Ushirika cha Wakulima na Wafugaji Lokolova. Hatua hiyo imefuta mpango wa awali wa Serikali wa kulifanya eneo hilo la ardhi litumike kujenga soko la nafaka la kimataifa na mji wa viwanda. Hafla ya kukabidhi eneo hilo ilifanyika kwenye mkutano wa hadhara wa wanachama wa ushirika huo…

Read More

Tume ya maridhiano muhimu Zanzibar

Leo ni Jumanne. Ni February 23, 2016. Zimebakia wiki 4 na siku 4 Zanzibar kufanya uchaguzi wa marudio. Wiki iliyopita niliandika kueleza jinsi nilivyomwelewa Rais John Mafuguli baada ya ufafanuzi wake wa kisheria juu ya msimamo wake wa kutoingilia Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC). Kwa ruhusa yako naomba kurudia nilichosema, na kuanzia hapo nijenge hoja…

Read More

Vifungu vya Katiba vinavyochefua

Kwa muda mrefu katika Tanzania yetu, viongozi wengi wameyaangalia magazeti kama vyombo vya uzushi na uchochezi. Mtu mmoja atashauri suala fulani lililoandikwa gazetini lifuatiliwe. Lakini kiongozi atasema kwamba suala hilo lisifuatiliwe kwa kuwa hayo ni mambo ya magazetini yasiyo na ukweli. Hali hiyo imechangia uozo ambao Rais Dk. John Pombe Magufuli amekiri kwamba ameukuta alipoingia…

Read More