Magufuli atumbua mapapa wa ‘unga’
Kasi ya Rais John Magufuli ya kutumbua majipu sasa imeanza kuvunja mtandao wa dawa za kulevya (unga) nchini, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Rais Magufuli ametoa […]
Kasi ya Rais John Magufuli ya kutumbua majipu sasa imeanza kuvunja mtandao wa dawa za kulevya (unga) nchini, uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Rais Magufuli ametoa […]
Baadhi ya wageni hao wamediriki kuendesha shughuli za ufugaji katika Hifadhi ya Taifa Serengeti (SENAPA), na kilimo katika vijiji vya Tarafa ya Loliondo. Matrekta mengi […]
Mahabusu watatu wa kesi za mauji na ujangili wametoroka katika Kituo cha Polisi Meatu mkoani Simiyu. Polisi mkoani humo imethibitisha kuwapo kwa tukio hilo ;la […]
Serikali mkoani Kilimanjaro imekabidhi ekari 2,470 kwa Chama cha Ushirika cha Wakulima na Wafugaji Lokolova. Hatua hiyo imefuta mpango wa awali wa Serikali wa kulifanya […]
Leo ni Jumanne. Ni February 23, 2016. Zimebakia wiki 4 na siku 4 Zanzibar kufanya uchaguzi wa marudio. Wiki iliyopita niliandika kueleza jinsi nilivyomwelewa Rais […]
Kwa muda mrefu katika Tanzania yetu, viongozi wengi wameyaangalia magazeti kama vyombo vya uzushi na uchochezi. Mtu mmoja atashauri suala fulani lililoandikwa gazetini lifuatiliwe. Lakini […]