Kitwanga sikio la kufa
Mambo mapya yameibuka kuhusiana na kuvuliwa uwaziri kwa aliyekuwa Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, aliyevuliwa wadhifa huo Mei 20, 2016 baada ya kuingia bungeni akiwa amelewa. Vyanzo vya habari vya uhakika vimeiambia JAMHURI kuwa Kitwanga alikunywa pombe akiwa na wageni wake (wakiwamo madiwani), waliotoka jimboni kwake na kuachana nao…