Ridhiwani achunguzwa

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, anachunguzwa na vyombo vya dola kuhusiana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya, JAMHURI linathibitisha. Habari za uhakika zilizolifikia JAMHURI na kuthibishwa na mamlaka mbalimbali, jina la mbunge huyo ambaye ni mtoto wa Rais (mstaafu), Jakaya Kikwete, limo katika orodha ya majina 97 aliyoikabidhi Mkuu wa Mkoa…

Read More

Ajira kikwazo cha uchumi

Ukosefu wa ajira kwa vijana wenye elimu ya juu ni miongoni mwa sababu zinazochangia uchumi wa nchi kuporomoka, huku vitendo vya uhalifu vikiongezeka katika jamii. Akizungumza na JAMHURI, Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Humphrey Moshi, amesema ukosefu wa ajira kwa vijana unaweza kusababisha kurudi nyuma kimaendeleo pamoja na kuchangia vitendo…

Read More

Wastaafu walia na Swissport

Waliokuwa wafanyakazi wa Shirika la Ndege Tanzania (ATC), Kampuni ya mizigo Dahaco na baadaye Swissport Tanzania, wamelalamikia uongozi wa kampuni hiyo kwa kushindwa kuwalipa waliokuwa wafanyakazi wake 109, zaidi ya Sh bilioni 15 ikiwa ni malimbikizo ya mishahara na stahiki nyingine kwa zaidi ya miaka kumi sasa. Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wastaafu hao…

Read More

Uzuiaji viroba sawa, mifuko ya plastiki nayo iunganishwe

Serikali imepiga marufuku utengenezaji na usambazaji pombe maarufu kwa jina la ‘viroba’ kuanzia Machi mosi, mwaka huu. Uamuzi huu umetokana na ukweli kuwa matumizi ya ‘viroba’ yalishavuka mipaka; na hivyo kuwa chanzo cha maovu na misiba nchini kote. Hatua hii, licha ya ukweli kuwa imechelewa, bado inastahili kupongezwa kwani inafungua ukurasa mpya kwa afya za…

Read More

Ng’ombe 1,000 wanaliwa Dar kila siku

Ng’ombe 1,000 wanaliwa kila siku jiji Dar es Salaam. Takwimu hizo zimepatikana katika machinjio yote yaliyoko jijini.  Hali hiyo imesababisha ongezeko la mapato kutoka Sh milioni 4 hadi Sh milioni 8 kwa siku katika Mnada wa Mifugo Pugu, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wa Serikali inayoongozwa…

Read More

Mwakyembe hawezi kuifuta TLS

Wiki hii nchi imeingizwa katika mjadala mrefu usio na tija. Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Dk. Harrison Mwakyembe nadhani amehemka tu, akasema ikibidi atakifuta Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS). Kauli ya Dk. Mwakyembe imetoka muda mfupi baada ya Rais John Magufuli kuwataka wanasheria wanachama wa TLS kujiepusha na siasa. Rais Magufuli Februari…

Read More