November 30, 2017
Zaidi ya Million 20 Zapatikana Kusaidia Watoto Wenye Ulemavu
Zaidi ya milioni 20 zimetolewa na wananchi pamoja na Taasisi mbalimbali hapa nchini ikiwa ni mchango wa kusaidia matibabu na kununua vifaa tiba kwa ajili ya watoto wenye vichwa vikubwa na migongo wazi. Ikiwa Jana ni Jumanne ya kutoa (GIVING TUESDAY) kote duniani na Taasisi ya Foundation for Civil Society iliadhimisha kwa kuwasaidia watoto hawa…
LHRC Yabaini Mapungufu Kibao Uchaguzi wa Madiwani
MKURUGENZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Anna Henga, amesema kuwa kituo hicho kimefuatilia kwa ukaribu uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 43 ulifanyika Novemba 26 mwaka huu, katika halmashauri 36 kwenye mikoa 19 nchini. Katika uchaguzi huo tume ya haki za binadamu imebaini matukio mbalimbali ya uvunjifu mkubwa wa haki…