Bandari Kwafukuta
*Mkurugenzi wa Ulinzi asimamishwa kazi kimyakimya *Timu aliyounda Rais Magufuli yaendelea na upekuzi *Wasiwasi watanda kwa watumishi, wafanyabiashara *Mjumbe wa Bodi ataka NASACO irejeshewe udhibiti Na Waandishi Wetu Kuna kila dalili kuwa hali ya hewa imechafuka tena katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), baada ya Rais John Magufuli kuvamia na kubaini magari 52…