UN Yakutana Kumjadili Trump
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeombwa kuitisha mkutano wa dharura kujadili hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kuuhamisha Ubalozi wa Marekani kutoka Telaviv hadi Jerusalem. Maamuzi hayo yalisababisha maandamano makubwa yaliyosababisha watu 17 kujeruhiwa kwa risasi na jeshi la Israel wakati Wapalestina walipoandamana katika Ukingo wa Magharibi na ukanda wa Gaza. Lengo…