Tujenge Uzalendo Kupitia Uchumi

Wiki iliyopita nchi yetu imesherehekea miaka 56 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara). Wakati tunapambana kupata uhuru, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyeongoza harakati hizo, alisema nchi yetu ilikuwa inapambana na maadui watatu; ujinga, maradhi na umaskini. Na alisema ili nchi ipate mafanikio inahitaji watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Ukipima kigezo cha siasa za…

Read More

Simba Inahitaji Zaidi ya Fedha

Mchezo wa soka unahitaji benchi la ufundi lenye watalamu wenye ueledi mkubwa  wenye uwezo wa kuendana na mabadiliko ya soka kadri mda unavyobadilika. Wakizungumza na JAMHURI juu ya mabadiliko yaliyofikiwa na  klabu ya Simba wachezaji wa zamani na watalamu wa mchezo huo  wamesema  uwekezaji bila ya mipango endelevu unaweza kuja kuwa kaa la moto ndani…

Read More

Pochettino Matatani

Bundi ameanza kulia ndani ya klabu ya Tottenham ya London baada ya kujikuta ikisukumwa nje ya  timu nne za juu (top 4) hadi  kuangukia nafasi ya sita. Baada ya kupata ushindi dhidi ya klabu ya Real Madrid na ushindi wa ugenini dhidi ya  Borussia Dortmund katika mashindano ya klabu bingwa barani  Ulaya (UEFA) Tottenham imeendelea…

Read More