Internet news was demonstrated to function as of fantastic advantage for its working class. Two extremely essential procedures for reading news is via the servers and through the cellular phones. On line sport news could possibly be valuable source to help you want your preferred match without enabling work become influenced. The 30-Second Trick for…
December 20, 2017
Ni Kazi Kumpata Rafiki wa Kweli
Maisha ni urafiki. Mwanafalsafa mwenye asili ya Kiafrika Martin Luther Jr. King alipata kusema hivi, “Ukimya wa marafiki zetu unaumiza kuliko kelele za madui zetu”. Rafiki wa kweli ni rafiki siku zote. Mwenyezi Mungu ni rafikiwa kweli katika maisha yetu ya kila siku. Anatulinda. Anatupenda. Anatubariki. Anatuongoza katika njia iliyo takatifu. Tukumbuke jambo moja ambalo…
Miaka 44 Gerezani
Ni mfungwa wa aina yake nchini. Ameingia gerezani vyama tawala vikiwa ni Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shiraz (ASP). Chama Cha Mapinduzi kimezaliwa mwaka 1977 akiwa gerezani. Amewekwa gerezani wakati ambao Tanzania haikujua kama itapigana na Uganda kwenye vita iliyokuja kujulikana baadaye kama ‘Vita ya Kagera’ (mwaka 1978-1979). Wala hakuona vita ya uhujumu uchumi…
Mafanikio Yoyote Yana Sababu (2)
Kufikiria vizuri ni sababu ya mafanikio. Tazama mbele ufikiri. Papa Fransisko alisema kuna lugha tatu: ya kwanza fikiria vizuri, ya pili hisi vizuri, ya tatu tenda vizuri. Kufikiria vizuri ni msingi wa mafanikio. Kuna aina mbalimbali za kufikiri. Kwanza ni kufikiria kwa ‘kufokasi’. Fokasi ni mahali miale ya nuru ikutanapo. Kuwa makini na lengo lako….
Vidonge vya Uzazi wa Mpango na `Hisia’ za Madhara Yake
Ni kweli, matumizi ya vidonge vya kupangilia uzazi yana madhara? Swali hili nimeulizwa mara nyingi sana na wasomaji wa JAMHURI. Hivyo, leo kupitia makala hii utapata fursa ya kujua kama njia hii ya vidonge vya kupangilia uzazi ina madhara au la. Na kama yapo basi ni yapi. Matumizi ya njia mbalimbali za uzazi wa mpango…
Rais wa Ujerumani Ahimiza Ujenzi Taasisi Imara
Rais wa Ujerumani, Frank- Walter Steinmeir, amehitimisha ziara yake katika bara la Afrika kwa kuhimiza masuala ya demokrasia na maendeleo ya kiuchumi. Katika ziara yake hiyo, Rais Steinmeir amehimiza uimarishwaji vita dhidi ya ufisadi na mapambano imara juu ya uhamiaji unaoendelea kuwa tishio kwa maisha ya binadamu hasa katika kipindi hiki. “Mataifa yote yanapaswa kuungana ili…