DOTTO BITEKO: ASANTE RAIS MAGUFUL KWA KUNIAMINI NAKUNIPA NAFASI YA KULITUMIKIA TAIFA LANGU
Naibu waziri mteule wa Wizara ya Madini, Dotto Biteko amemshukuru Rais Jonh Magufuli kwa kumuamini na kumpa nafasi ya uongozi katika Taifa. Biteko ambae ni Mbunge wa Bukombe amesema sifa na utukufu ni kwa Mungu na hana cha kusema zaidi ya kumshukuru Mungu. Akizungumza leo Jumamosi amesema kwa sasa hana cha kusema zaidi ya kushukuru…