LWANDAMILA AMTETEA CHIRWA KWA MASHABIKI
Lwandamina amewataka mashabiki wa timu hiyo mambo ya kombe la Mapinduzi na kuangalia michuano inayowakabili mbele yao Kocha mkuu wa Yanga George Lwandamina, amemtetea mshambuliaji wa timu hiyo Obrey Chirwa, kuwa mkwaju wa penalti aliokosa ilikuwa na bahati mbaya na hakufanya makusudi kama mashabiki wanavyodai. Lwandamina amesema, vitu kama hivyo hutokea kwa mchezaji mwenye uwezo…