MOROCCO YAJITOSA KOMBE LA DUNIA 2026 

NA MTANDAO Morocco imewasilisha rasmi maombi ya kuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Dunia yanayotarajiwa kufanyika mwaka 2026, huku tayari ikiwa imezindua kampeni ya kuandaa michuano hiyo. Ikumbukwe kuwa hiyo haitakuwa mara ya kwanza kwa taifa hilo la Afrika Kaskazini kuomba kuwa mwenyeji wa mashindano hayo makubwa; kwa mara ya kwanza liliwasilisha maombi yake…

Read More

JE, ALIYETEULIWA NA MAREHEMU KWENYE WOSIA KUSIMAMIA MIRATHI ANAHITAJI KUTHIBITISHWA NA MAHAKAMA?

Na Bashir Yakub Wako wasimamizi wa mirathi wa aina mbili. Kwanza ni yule ambaye marehemu mwenyewe amemteua kabla ya kufa kwake na akaandika/kusema kwenye wosia kuwa fulani ndiye  atakayesimamia  mirathi  yangu  baada  ya  kuondoka. Pili, ni yule ambaye  hakuteuliwa  na  marehemu mwenyewe bali  ameteuliwa na wanafamilia kwenye kikao  cha  familia. Kwa walio wengi  huyu  ndiye  tunamjua kuwa ni lazima jina lake lipelekwe  mahakamani  kwa  ajili  ya  kuthibitishwa  ili  aweze kuwa  msimamizi  kamili.  Makala itapitia Sheria  ya  Usimamizi  wa Mirathi, Sura ya 352  na kanuni zake. 1.   HAKI NA WAJIBU WA WASIMAMIZI WA MIRATHI Haki  na  wajibu  wa  msimamia  mirathi  aliyeteuliwa  na  marehemu…

Read More

SMS 331: STENDI YA TABATA CHAFU

Watu wanaweza kusema hakuna stendi Tabata Kimanga kwani kinachoonekana pale ni dampo la uchafu. Diwani na Serikali ya Mtaa tusaidiane. Fakhii Mohamedy, 0673774241 Serikali isiue demokrasia  Ombi langu kwa Serikali yetu ya Awamu ya Tano ione uwepo wa vyama vya upinzani nchini ni moja ya njia ya kuikosoa serikali pale inapokosea kutekeleza masuala muhimu ya…

Read More

TANROADS: TUMIENI MICHEPUKO KUEPUKA FOLENI TAZARA

DAR ES SALAAM NA CLEMENT MAGEMBE Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) umehimiza matumizi sahihi ya alama zinazoonesha barabara za mchepuko kwa magari yanayopita makutano ya barabara za Nyerere na Mandela, ili kuepuka foleni zinazoweza kuzuilika. Makutano hayo ndipo panapojengwa barabara ya kupita juu maarufu kama Tazara fly over, lengo likiwa ni kupunguza foleni za magari hususani…

Read More

UKO WAPI USALAMA VIWANJANI?

NA MICHAEL SARUNGI Mamlaka husika zinapaswa kuhakikisha ubora wa viwanja kabla ya timu kuruhusiwa kutumia viwanja hivyo ili kudhibiti fujo na kuepusha matatizo yanayoweza kutokea kati ya washabiki na wachezaji. Wakizungumza na JAMHURI, baadhi ya wapenzi wa michezo nchini wamesema wachezaji ni wanadamu kama walivyo wengine, wanaoweza kupandwa na hasira na kujikuta wakitenda vitendo visivyotakiwa…

Read More