USITISHAJI MICHANGO MASHULE ‘WAITIKISA’ DODOMA

NA EDITHA MAJURA Dodoma Agizo la Rais John Magufuli kuzuia wazazi wa wanafunzi wanaosoma katika shule za msingi na sekondari zinazomilikiwa na Serikali wasitozwe michango, limeibua changamoto katika uendeshaji wa shule hizo mkoani hapa, imebainika. JAMHURI limebaini hayo baada ya kuzungumza na baadhi ya wanafunzi, walimu na wazazi walio walengwa katika utekelezaji wa agizo hilo….

Read More

ANGELA MERKEL AANZA KUUNDA SERIKALI

NA MTANDAO Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, amesema anakamilisha utaratibu wa kuangalia namna ya kuunda serikali ya mseto kwa kushirikiana na viongozi wa vyama vya Social Democratic na SPD. Amesema wanatarajia kwenda mbele katika jitihada zao za kuunda serikali na ndiyo maana ana matumaini juu ya majadiliano yanayoendelea, huku akisema  anaamini hilo linaweza kufikiwa kwa wakati….

Read More

MAFANIKIO YANA SABABU YOYOTE (7)

Na Padre Dkt. Faustin Kamugisha Mtazamo chanya ni sababu ya mafanikio. Mtazamo chanya unakufanya uyaone matatizo kuwa ni baraka katika sura ya balaa. Mtazamo chanya unakufanya kuhesabu siku zako kwa saa za furaha na si kwa saa za karaha. Mwenye mtazamo chanya akijikuta katika maji anaamua kuoga. Washindi wengi wana mtazamo chanya. Kuna aliyesema “Mshindi…

Read More

TANZANIA NINAYOITAKA NA TANZANIA NISIYOITAKA

NA ANGALIENI MPENDU Binadamu anapokuwa na tabia ya kuaminika, anapenda haki na anafuata utaratibu mzuri wa kufanya kazi, anajijengea sifa ya uaminifu, uadilifu na nidhamu. Huyu ndiye binadamu ninayemfahamu na ninayemkubali kwa Tanzania niitakayo. Binadamu mwenye upungufu wa sifa hizi, hutambuliwa na kuonekana hayawani na mpenda kufanya mambo ya dhuluma na ufisadi, hiana na choyo,…

Read More