Patrobas Katambi:CHADEMA Imepoteza Ajenda ya Misingi ya Chama
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la vijana la Chama cha Demookrasia na Maendeleo-CHADEMA ambaye hivi karibuni alikihama chama hicho na kuhamia CCM Patrobas Katambi amejitokeza kwa mara ya kwanza na kueleza udhaifu mkubwa wa kiuongozi uliopo ndani ya vyama vya siasa hapa nchini. Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam Patrobas amesema, vyama…