MPINA APANGUA HOJA ZA WABUNGE KUHUSU NAMNA WIZARA YAKE INAVYOPAMBANA KUTOKOMEZA UVUVI HARAMU NCHINI
Mwenyekiti wa Kamati iliyoundwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina, Injinia Arcard Mutalemwa (Mwenye shati jeupe), kufanya tathmini ili kujua uwekezaji uliopo katika Ranchi za Taifa (NARCO) akikabidhi ripoti ya kazi hiyo jana kwa Waziri Mpina na viongozi wakuu wa Wizara hiyo. Mhe. (Picha na John Mapepele) Picha ya pamoja baina ya…