Tangazo la Nafasi za Kazi Mamlaka ya Anga Tanzania

The Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) was established to regulate the civil aviation industry to ensure effective implementation of Standards and Recommended Practices (SARPs) as provided in the Annexes to the Chicago Convention on the International Civil Aviation Organization (ICAO) and secure a safe and secure civil aviation environment in the United Republic of Tanzania….

Read More

TUNDU LISSU: “LEMUTUZ HUSILAZIMISHE URAFIKI USIOKUWEPO”

Kwenye ukurasa wake wa Instagram Mbunge wa Singida Kaskazi, Tundu Lissu amemtolea povu Lemutuz. Tundu lissu alisema haya “Leo (Jana) nimeonyeshwa post iliyopo kwenye Instagram account ya William Malecela aka Lemutuz. Kwenye post yake, Lemutuz amedai kwamba mimi ni rafiki yake mkubwa na wa miaka mingi, kabla vijana wengi wanaopiga makelele mitandaoni hawajazaliwa. Lemutuz ameeleza…

Read More

CCM, CUF, CHADEMA WASHINDANA KUTOA AHADI KWA WAPIGA KURA WAO

Ni vuta nikuvute. Ndivyo unavyoweza kuelezea kile kinachoendelea katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge wa Kinondoni na Siha kwa wagombea wa CUF, CCM na CHADEMA kuchuana kuwania uwakilishi wa wananchi. Katika mikutano iliyofanyika jana kwenye maeneo tofauti, wagombea hao waliendelea kumwaga ahadi ili kuwashawishi wananchi wawachague katika uchaguzi utakaofanyika Februari 17. Hata hivyo, jana…

Read More

Wenger: Wachezaji wa Uingereza ni ‘mabingwa’ wa kujiangusha uwanjani

Kocha wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amelalamika kwamba wachezaji wa Uingereza wamekuwa na tabia ya kujirusha na kutengeneza adhabu. Amesema mchezaji wa Tottenham Dele Alli alifanya kitendo hicho kwenye mchezo wa jumapili huko Liverpool na kusababisha mwamuzi kutoa adhabu ya penalti. Mchezaji mwingine ambaye anatuhumiwa kufanya kitendo hicho ni Harry Kane, alifanya hivyo kwa…

Read More