TOTTENHUM SPURS YAITANDIKA ARSENAL KWA BAO 1 -0
Mchezo huo ulikuwa wa vuta ni kuvute, kipindi cha kwanza kinamalizika timu hizo zilishindwa kufungana, katika dakika ya 49 mshambuliaji wa spurs Harry Kane aliwainua mashibiki wake vitini baada ya kuunganisha kwa kichwa krosi iliyopigwa na Ben Davies na kuiandika Spurs bao la kuongoza na likadumu mpaka filimbi ya mwisho ya mchezo. Kwa matokeo hayo…