FULL TIME YANGA SC VS ST LOUS (1-0)

Dakika ya 8: Mabao  0 -0 Dakika ya 12: Yanga wanapata kona Dakika ya 15: Milango bado migumu Yanga 0- St Lous 0 Dakika ya 16: Buswita anapiga shuti linatoka  nje ya lango Dakika ya 20: Penaaaaaati, Yanga wanapata penati, Hasani Kessy anaangushwa ndani ya 18 Dakika ya 22: Chirwa  anakosa penati, anapiga mpira unatoka…

Read More

LEO NI LONDON DERBY, TOTENHUM VS ARSENAL

Mahasimu wa kubwa kutoka jiji la London, Totenhum Spurs na Arsenal leo wanakuta kwenye mchezo wa Ligi kuu Uingereza, Totenhum watakuwa nyumbani ikiwakaribisha Arsenal majira ya saa 9: 30 mchana. Mchezo huo unaonekana kuwa mgumu kwa timu zote mbili licha ya Totenhum kupewa nafasi kubwa ya Kuibuka na ushindi katika Mchezo huo kutokana na Spurs…

Read More