Chadema yahofia wapiga kura wachache

NA WAANDISHI WETU Takribani siku nne kabla ya kufanyika uchaguzi mdogo katika majimbo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam na Siha mkoani Kilimanjaro, hofu ya kujitokeza wapiga kura wachache imeibuka kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHDEMA). Mgombea ubunge katika jimbo la Kinondoni (Chadema), Salum Mwalimu, amesema hofu hiyo inatokana na matukio yaliyoibua dhana ya…

Read More

Usajili wachezaji wa kigeni uzingatie vigezo

NA MICHAEL SARUNGI Usajili wa wachezaji wa kigeni usiozingatia vigezo vinavyotakiwa umesababisha klabu nyingi zinazocheza Ligi ya Vodacom Tanzania Bara kujikuta zikisajili wachezaji wasiokuwa na viwango na kusababisha kukosa nafasi za kucheza na kuishia kukaa benchi. Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wapenzi wa michezo nchini wamesema ni aibu kwa mchezaji wa kigeni kusajiliwa kutoka…

Read More

Demokrasia iliyotundikwa msalabani

  Mwaka 2015 kuelekea Uchaguzi Mkuu wa taifa letu la Tanzania, niliandika makala nyingi katika gazeti hili la JAMHURI. Makala zangu zilikuwa zinakosoa mwenendo wa chama tawala (CCM). Sihitaji kusimulia kilichonitokea lakini inatosha kudokeza kiduchu: ‘Niliambulia vitisho vya kuondolewa uhai wangu.’ Nilijiuliza maswali mengi sana. Je, ni kweli kwamba kuikosoa Serikali ni dhambi? Na kuisifia…

Read More

Ndugu Rais dunia hadaa ulimwengu shujaa

Ndugu Rais, dunia tuliikuta na dunia tutaiacha. Niliwahi kusema kuwa kila mtu kila msiba anaohudhuria humkumbusha misiba yake iliyopita. Kama umefiwa na baba, mama, mtoto au ndugu aliyekugusa wakati wa msiba unakumbuka zaidi! Msiba umetokea na baba nilikuona. Msiba huu ulinikumbusha siku tulipokuwa tunauaga mwili wa Sir George Kahama katika ukumbi wa kimataifa wa Mwalimu…

Read More

Vyeti ‘feki’ vyaendelea kuitesa ORCI

NA CLEMENT MAGEMBE DAR ES SALAAM Sakata la kuwaondoa kazini watumishi waliokuwa na vyeti `feki’ linadaiwa kuitesa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) jijini Dar es Salaam, kwa wafanyakazi waliobaki kuzidiwa na utoaji huduma kwa wahitaji hususani wagonjwa. Taarifa zimedai kuwa kitengo kilicholemewa zaidi ni watumishi wa chumba cha maiti (mochwari) ambao wako wawili,…

Read More