MAENDELEO NI KAZI 11
Wiki iliyopita katika maandiko ya Mwalimu tuliona katika kitabu cha “Maendeleo ni Kazi”chama kimetoa maagizo ambayo yanatakiwa kutekelezwa na uongozi. Tuendelee Elimu ya watu wazima. Elimu ya watu wazima ni shughuli nyingine ambayo chama kimeshughulikia kutokana na agizo la mkutano Mkuu la kufuta ujinga katika muda wa miaka minne, yaani kwenye mwaka 1975. Chama kimehimiza…