Dunia yapaza sauti kudhibiti tumbaku
Na Mashaka Mgeta, Afrika Kusini Takwimu za Shirika la Afya (WHO) zinaonesha kuwa takribani watu milioni 7 wanakufa kila mwaka ulimwenguni hasa katika nchi masikini ikiwamo Tanzania na zenye uchumi wa kati kwa sababu ya matumizi ya bidhaa zinazotokana na tumbaku kama sigara. Kwa mujibu wa WHO, zaidi ya watu milioni wanakufa kutokana na matumizi…