Na Mwinjilisti Kamara Kusupa
0767 311422 Ninaandika barua hii nikiamini kwamba endapo utaitilia maanani na ukauelewa ujumbe wake, utaepusha janga na maafa kwa nchi. Usipoona umuhimu wake, kwangu si muhali, ninachojali ni kuufikisha ujumbe kwako na kwa Watanzania unaowatawala. Nimelitafakari kwa umakini onyo lako dhidi ya waliokusudia kuandamana Aprili 26, mwaka huu. Maandamano hayo yanahamasishwa kupitia mitandao ya…