TPA yaadhimisha miaka 13 kwa mafanikio makubwa
Na Mwandishi Maalum Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (Tanzania Ports Authority – TPA) inaadhimisha miaka 13 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2005. TPA ilianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Bunge Na. 17 ya mwaka 2004 kwa kurithi kazi za iliyokuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania (Tanzania Harbours Authority – THA) ambayo ilianzishwa mwaka 1977 baada ya…