Mtibwa Waungana Na Simba Kimataifa

Mtibwa Sugar wameungana na Simba sc Kucheza Mashindano ya Kimataifa baada ya Jana kutangazwa rasmi kuwa mabingwa wa Kombe la Shirikisho baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Singida United katika mchezo wa fainali uliopigwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Katika mchezo huo ulioanza kwa kasi huku Singida wakiongoza kumiliki…

Read More