MTANZANIA KUTUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA MAREKANI
MMOJA wa wataalam na watafiti wa magonjwa ya akili nchini, Profesa Slyvia Kaaya, ni miongoni mwa watu sita watakaotunukiwa shahada za heshima na Chuo Kikuu cha Dartmouth cha Marekani leo. Prof. Kaaya, wa Chuo cha Sayansi ya Afya cha Muhimili (Muhas) ni mmoja wa wataalam 60 wa magonjwa ya akili nchini anayejishughulisha katika…