Mjumbe wa Nyumba 10 Amgaia elfu 10 Paul Makonda
Mjumbe wa Nyumba kumi kinondoni amgaia shillingi elfu 10, Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paul Makonda. Tukio hilo limetokea leo Kinondoni ambapo Rais Magufuli alitembelea kukagua ujenzi wa Msikiti unaojengwa kwa msaada wa Kiongozi wa Morocco. Mjumbe huyo wa nyumba kumi alipata nafasi ya kumueleza Rais kero inayomsumbua katika mtaa wake, kwamba…