Kombe la Dunia Kuanza kensho na Wenyeji Urusi Dhidi ya Saudi Arabia
Imebaki siku moja kuanza kwa Mashindano ya Kombe la dunia litakalo anza kule Urusi kesho Alhamisi tarehe 14 kati ya Wenyeji Urusi dhidi ya Saudi Arabia. Timu zipo 32 ambazo ni hizi hapa Kundi A: Russia, Saudi Arabia, Egypt na Uruguay Kundi B Morocco, Iran, Portugal na Spain Kundi C France, Australia, Peru na Denmark…