TTCL Corporation yaendeleza utaratibu wake wakusaidia wahitaji
Add caption Meneja Uhusiano wa TTCL Tanzania, Ndugu Nicodemus Thom Mushi (kulia), akikabidhi msaada wa vyakula na mahitaji mengine kwa niaba ya Mkugenzi Mkuu wa TTCL Corporation, Bw. Waziri Kindamba kwa watoto waishio katika mazingira magumu ili kuwawezesha kufurahia Sikukuu ya Eid. Anayepokea kushoto ni Mamamlezi wa Kituo cha watoto yatima cha Mwana, Saada…