Serikali itengeneze matajiri wapya

Na Deodatus Balile, Mtwara Leo naandika makala hii nikiwa mjini Mtwara. Nimefika Mtwara Ijumaa asubuhi. Ni mwaka wa tatu sasa tangu nimetoka Mtwara. Naikumbuka Mtwara ya mwaka 2015, taarifa za ugunduzi wa gesi zilipoenea kila kona. Nakumbuka magari makubwa niliyokuwa nakutana nayo katikati ya mji wa Mtwara na ghafla mji ulivyobadilika ukawa kama Dar es…

Read More

Afrika tulipokosea Urusi Moscow, Urusi

Kabla ya michuano ya Kombe la Dunia kuanza nchini Urusi mwaka 2018, kulikuwa na matumaini makubwa kuwa Afrika ingeendeleza kasi ya ukuaji katika soka kama ilivyofanya nchini Brazil mwaka 2014 wakati wawakilishi wake wawili – Nigeria na Algeria walipofikia hatua ya mtoano kwa mara ya kwanza. Badala yake bara zima litakuwa linajiuliza ni wapi chombo…

Read More

Taifa limefikaje hapa? (1)

Kutokana na ile makala yangu “Pilipili usizozila zakuwashiani?” nimepokea mrejesho wa kushangaza kutoka wasomaji wa JAMHURI. Moja ya SMS hizo ilisomeka hivi nainukuu: “Brigedia Jenerali Mstaafu Francis Mbenna, shikamoo mzee wangu na hongera kwa makala zako nzuri na zenye kuelimisha na kutufundisha kwa vijana kama mimi. Baba Mungu akubariki sana. Mimi naitwa (jina limehifadhiwa). Kwa…

Read More

Tarime kwawaka

Tarime kwawaka *Vijana wachachamaa Zakaria kukamatwa usiku *Namba gari la ‘TISS’, la raia Tarime zafanana *Shabaha yamwokoa Zakaria, aliwindwa siku 7 *TISS waliojeruhiwa yadaiwa walitoka D’ Salaam   TARIME   NA MWANDISHI WETU   Utata umezidi kuibuka kwenye tukio la mfanyabiashara, Peter Zakaria, kuwapiga risasi maofisa wawili wa Usalama wa Taifa (TISS). Taarifa zilizosambaa wilayani…

Read More