Tarime wazidi kuumana
DC, Mwenyekiti CCM Mkoa hapatoshi Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa yaketi TARIME NA MWANDISHI WETU Hali si shwari kati ya Mkuu wa Wilaya (DC) ya Tarime mkoani Mara, Glorious Luoga, na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara, Samuel Kiboye (Namba Tatu). Kumekuwa na kurushiana maneno makali kati ya viongozi hao, na sasa…