Mkawas Akimbizwa India

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga, Charles Boniface Mkwasa, amesafiri kuelekea India kwa ajili ya matibabu. Taarifa ambazo imezipata Saleh Jembe hivi punde ni kuwa, Mkwasa amesafirishwa kuelekea nchini huko kutokana na matatizo ya kiafya ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda mrefu. Kupitia akaunti ya Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten, kwenye Instagram, ameandika kumtakia…

Read More