Tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo, Agost, 4 , 1961 alizaliwa Rais wa 44 wa Marekani, Barack Hussein Obama
Tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo, Agost, 4 , 1961 alizaliwa Rais wa 44 wa Marekani, Barack Hussein Obama, huko Honolulu, Hawaii, Marekani. Obama alikuwa Rais wa kwanza mwenye asili ya Afrika kushika nafasi hiyo ya urais nchini Marekani ambapo aliongoza taifa hilo kubwa Duniani kuanzia Januari 20, 2009 mpaka Januari 20,…