ROMA, STAMINA WAITWA BASATA
ZIKIWA zimepita siku tatu tangu wakali wawili wa hip hop Bongo wanaounda kundi la ROSTAM, Roma Mkatoliki na Stamina kuachia wimbo wao mpya wa ‘PARAPANDA’ wakivaa uhusika wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na Mzee Kingunge Ngombaremwiru, wawili hao wameitwa katika ofisi za Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) leo Agosti 6, 2018 kupigwa…