YANGA YAENDELEA KUJIFUA MOROGORO KWA AJILI YA WARABU
Kikosi cha Yanga kipo mjini Morogoro kikiendelea na mazoezi kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger. Yanga itashuka dimbani Uwanja wa Taifa Dar es Salaam Agosti 19 2018 kumenyana na Alger kutoka Alger wakiwa na kumbukumbu mbaya katika mechi ya mkondo wa kwanza. Yanga iliruhusu mabao manne kwa sufuri…