Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo amewataka wataalamu wa afya wilayani humo kutoa elimu ya njia sahihi za kunyonyesha watoto.

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo amewataka wataalamu wa afya wilayani humo kutoa elimu ya njia sahihi za kunyonyesha watoto. Amesema elimu hiyo itawawezesha kinamama kupata kizazi chenye afya bora na kushiriki vyema masuala ya uchumi na kijamii kwa siku zijazo. Ameyasema hayo leo Agosti 7 muda mfupi mara baada ya kufunga maadhimisho ya…

Read More

TCRA yawaburuza 13 kortini

Mamlaka ya mawasiliano nchini (TCRA) imewafikisha mahakamani watu 13 wakikabiliwa na mashtaka matano ikiwamo ya kusambaza taarifa za uongo, uhujumu uchumi na utakatishaji wa fedha wa zaidi ya Sh154 milioni. Wakili wa Serikali Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Tumain Kweka amewasomea kesi hiyo ya uhujumu uchumi namba 58 ya 2018 leo Agosti 7mbele…

Read More

JULIUS KALANGA AWAVULUGA CCM MONDULI

Wanachama wa CCM wilaya ya Monduli wameandamana kwenye ofisi za chama hicho wakitaka Mbunge wa CHADEMA Julius Kalanga aliyejiunga na chama hicho kufuata utaratibu ikiwemo hatua za uteuzi wa nafasi ya kugombania ubunge. Wakizungumza katika ofisi hizo wamesema wamesikia taarifa za kuteuliwa kwake bila kufuata utaratibu ikiwemo kukaa vikao na wazee wa kimila Malaigwanani ili…

Read More