MAFANIKIO YOYOTE YANA SABABU (35)
Na Padri Dk. Faustin Kamugisha Watu wanaokuzunguka ni sababu ya mafanikio. “Unakuwa na kama watu watano ambao unatumia muda mwingi ukiwa nao. Wachague kwa uangalifu, ” alisema Jim Rohn. Mtazamo chanya unaambukiza. Mafanikio yanaambukiza. Mark Ambrose alisema: “Nionyeshe rafiki zako nitakuonyesha wakati wako ujao.” Ukizungukwa na watu waliofanikiwa, kesho yako itakuwa ya mafanikio. “Unahitaji kujichanganya…