Waziri Lugola fika Zanzibar majipu ni mengi hayana mtumbuaji
Mhariri, kwanza nakupongeza kwa uzalendo wa kuichapa barua hii. Sababu kubwa ya kuandika andiko hili ni kumuomba Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, afike huku kwetu Zanzibar kujionea makosa ya barabarani yanayofanywa kwa makusudi bila kuchukuliwa hatua. Sitanii. Ukiwa barabarani kila dakika utaona daladala au gari la abiria lililozidisha abiria kupita…