Matajiri Afrika wanavyotekwa

Tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji, maarufu kama Mo, limeitikisa Tanzania, lakini si jipya kwa mwaka huu barani Afrika. Mo ni tajiri mkubwa wa saba barani Afrika kutekwa tangu mwaka 2018 ulipoanza. Matukio mengine ya namna hiyo yametokea nchini Afrika Kusini, Msumbiji na Nigeria. 1. Shiraz Gathoo – Afrika Kusini Mfanyabiashara maarufu kutoka Afrika…

Read More

Raila Odinga anakuwa Rais Kenya (2)

Wiki iliyopita niliandika sehemu ya kwanza ya makala hii nikieleza dalili ninazoziona kuwa mwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Amolo Odinga, anakuwa Rais wa Kenya mwaka 2021. Odinga ambaye Wakenya wengi wanamwita “Baba”, amefahamika na kuwa kipenzi cha karibu makabila yote ya Kenya kwa sasa.  Baada ya makala hiyo, nimepokea ujumbe mfupi na simu nyingi kwa…

Read More

Mwalimu Kambarage pumzika kwa amani

Oktoba 14, mwaka huu imeangukia siku ya Bwana, yaani Dominika – Jumapili. Imekuwa sasa ni kawaida kwa kila mwaka siku hii Tanzania tuna mapumziko ya kitaifa kumuenzi Baba wa Taifa. Karibu kila gazeti hutoa toleo maalumu la kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.   Mwaka huu unakuwa ni wa 19 kwa Watanzania bila…

Read More

Ndugu Rais hakuna makali yasiyo na ncha

Ndugu Rais nimesema mara zote, ‘nchi yangu kwanza’. Hii ndiyo imani yangu ya jana, leo na siku zote. Nitaililia nchi yangu kwa nguvu zangu zote na kuwalilia maskini wa nchi hii bila kuchoka, ndiyo, nitajililia na mimi mwenyewe mpaka  siku zangu zitakapokoma. Siku pumzi yangu ya mwisho itakapoutoka mwili wangu!   Nimepewa sauti inayosikika na…

Read More

ADARSH NAYAR: Mpigapicha wa Mwalimu

“Nakumbuka nilikuwa mtoto mdogo, nikiwa na miaka zaidi ya 10 hivi, ikatokea siku moja miaka ya 1959 – kabla ya Uhuru, pale kwenye kiwanja cha Dar Brotherhood nikasikia kuna mtu akihutubia. “Nikasogea na kukuta ana kina Kenneth Kaunda pamoja na Askofu Trevor Huddleston. Ndipo nilipojua mtu yule anaitwa Julius Nyerere. “Hotuba yake ilikuwa na maneno…

Read More

Falsafa na uhai wa taifa, miaka 19 baada ya kifo cha Mwalimu Julius Nyerere (1)

Baada ya kifo cha hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, tangu Oktoba 14, 1999, mshairi mmoja aliandika hivi: “Hatutamwona mwingine kama Nyerere.” Ni kweli taifa letu halitampata Nyerere mwingine, kwa sababu unapomlinganisha Mwalimu Nyerere na watawala wengine waliokalia kiti alichowahi kukikalia unakutana na ombwe kubwa la uongozi, hekima na maadili. Historia ni mwalimu…

Read More