Pongezi kwa Serikali kupiga ‘stop; GMO
Juma lililopita tumesikia taarifa za kutisha kwamba wabunge wametembelea Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) iliyopo Makutupora, Dodoma na kuridhishwa na matokeo ya utafiti wa mbegu za GMO, mbegu zinazoundwa kwenye maabara. Zilifuatiwa na habari kwamba serikali imesimamisha mara moja utafiti wote unaofanywa na TARI na kuagiza kuteketezwa kwa mazao yote yaliyokuwa yakitumika kwa sababu…