Yah: Mheshimiwa Rais, bado kuna mambo mengi
Salamu zangu ni za kawaida kwa sababu kwanza naamini katika upendo; pili, naamini katika undugu; Watanzania wote ni kitu kimoja na ni ndugu, tunapaswa kupendana sana. Upendo tutakaokuwa nao ndio utakaotufanya tuwe na mshikamano na hatimaye tutavuka hili tuta kubwa na lenye majaribu makubwa ya kufikia malengo ya maendeleo. Huwa nakufuatilia sana, hasa pale unapoonyesha…