CWT kwawaka

Fukuto limezidi kuwa kubwa ndani ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) baada ya gazeti hili kuchapisha taarifa za kuwapo ufujaji wa mali za walimu wiki iliyopita, JAMHURI linathibitisha. Wiki iliyopita JAMHURI lilichapisha orodha ya wafanyakazi waliopewa ajira kwa njia ya upendeleo ndani ya CWT, hali inayotajwa kuwa imefungua ‘kabrasha la madudu’ yanayofanyika ndani ya CWT….

Read More

Idadi kubwa ya watu ni ‘dili’

Mwelekeo wa dunia juu ya idadi ya watu, kwa sasa hasa kwa nchi zilizoendelea [Magharibi na Mashariki] zimeachana na sera za kupunguza idadi ya watu wao badala yake zinajitahidi kadri ya uwezo wao kuongeza idadi hiyo. Hii ni baada ya kuathiriwa au kuanza kuathiriwa na madhara ya kupunguza idadi ya watu wao. Madhara makubwa ya…

Read More

Rais Museveni azidi kumuenzi Mwalimu

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amemsifu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, akisema ni mtu muhimu aliyejenga umoja wa Afrika na ustawi wa binadamu. Ametoa sifa hizo kwenye misa maalumu iliyohudhuriwa na watu zaidi ya 500 kutoka Uganda na Tanzania kwa ajili ya kumwombea Mtumishi wa Mungu, Mwalimu Nyerere ili awe mwenyeheri na baadaye…

Read More

Pongezi kwa wananchi kutii mamlaka

Aprili 9, mwaka huu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, alitangaza kwamba kuanzia Juni mosi mwaka huu itakuwa ni marufuku kutengeneza, kuingiza, kuuza na kutumia mifuko ya plastiki kwa ajili ya kubebea bidhaa za aina yoyote na matumizi yake yatakoma ifikapo Mei 31.  Waziri Mkuu alitoa kauli hiyo bungeni jijini Dodoma kwenye Mkutano wa 15 wakati akihitimisha hoja…

Read More

NINA NDOTO (20)

Umri usiwe kikwazo cha kutimiza ndoto   Kuwa na umri fulani si kigezo kuwa huwezi kutimiza ndoto zako. Umri ni namba tu. Bila kujali kama wewe ni mzee au mdogo kiasi gani, bado unaweza kutimiza ndoto zako. Bado unayo nafasi ya kufanya mambo makubwa. Umri usiwe kikwazo cha wewe kutotimiza ndoto zako. Kuna watu wakianza…

Read More

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (16)

Nikiri nimeendelea kupata simu na maswali mengi kuhusu ‘Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania.’ Nimepata simu kutoka Rukwa, Katavi na maeneo ya mbali. Changamoto kubwa ninayoipata ni wahusika kukutana na makala hii katikati bila kusoma za mwanzo. Sitanii, ananipigia mtu anaulizia mambo niliyoyazungumzia katika sehemu ya kwanza, ya pili au ya saba. Inaniwia vigumu pia kuanza kumwelezea…

Read More