Tuhuma za rushwa zamtikisa DC Sabaya

Mzimu wa tuhuma za kudai na kupokea rushwa kutoka kwa wawekezaji mbalimbali Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro umezidi kumwandama Mkuu wa Wilaya hiyo, Lengai ole Sabaya. Safari hii DC huyo anatajwa kudai na kupokea rushwa ya Sh milioni 10 kutoka kwa mfanyabiashara Cuthbert Swai ambaye ni mkurugenzi wa hoteli ya kitalii, Weruweru River Lodge. Tuhuma hizi…

Read More

Machungu mgogoro wa ardhi Kwimba

Mgogoro wa ardhi uliodumu miaka mitatu sasa baina ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mahiga na familia ya Dionis Mashiba, Wilaya ya Kwimba, Mkoa wa Mwanza, unaonekana kupuuzwa na mamlaka wilayani hapa. Mtanziko huo ulioanza mwaka 2016, unatokana na kile kinachodaiwa kuwa familia ya Mashiba kuingia kwenye eneo la Mwalimu Majenga huku Idara ya…

Read More

Mradi wa umeme Rufiji rasilimali mpya nchini

Mwishoni mwa wiki iliyopita Rais Dk. John Magufuli alizindua ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa maji wa Mto Rufiji. Mradi huo wa kufua umeme wa Mto Rufiji, mkoani Pwani unatarajiwa kuzalisha megawatt 2,115, kiwango ambacho ni kikubwa zaidi katika historia ya uzalishaji umeme nchini.  Mradi huu wa kufua umeme unatajwa kuweza kudumu kwa miaka…

Read More

NINA NDOTO (28)

Tumia kichwa chako vizuri   Kila mtu amezaliwa na kichwa chenye ubongo  kinachoweza kufanya mambo makubwa. Akili aliyopewa mwanadamu ikitumika vizuri inaweza kufanya mambo makubwa na pia kusaidia kutimiza ndoto nyingi. Mtu asiyeweza kutumia akili tunasema amerukwa  akili au ni mwendawazimu. Ni mwendawazimu tu ambaye hawezi kutumia kichwa chake vyema. Ipo wazi kuwa kama wewe…

Read More

Nyaraka muhimu unapokabidhiwa gari kutoka bandarini

Hivi karibuni tumeeleza njia rahisi ya kutoa gari bandarini katika makala iliyopita. Njia hizi ni zile ambazo  mteja anatakiwa kuzifuata ili aweze kutoa gari lake bandarini kwa haraka na bila usumbufu. Leo katika makala hii tutaelezea umuhimu wa fomu za Vehicle Discharge Inspection Transfer Tally (VDITT) na ile ya makabidhiano ya gari (Vehicle Hand Over Form) wakati mteja anapopokea gari lake kutoka kwa…

Read More