Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (24)

Wiki iliyopita nilihitimisha mada yangu kwa kuhoji iwapo msomaji unafahamu viwango vinavyotozwa kwenye Kodi ya Zuio. Nirudie kukiri kuwa hadi sasa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inacho kituo kimoja tu cha Elimu kwa Mlipakodi kilichopo Dar es Salaam. Baada ya kuandika makala hii nashawishika kusema TRA wanapaswa kufungua vituo vya aina hii kila wilaya nchini…

Read More

MIAKA 20 BILA MWALIMU NYERERE

Tunamuenzi vipi?   Kwanza, naomba niwapongeze sana vijana hawa; Mhariri Mtendaji wa Gazeti la JAMHURI Ndugu Deodatus Balile na Naibu Mhariri Mtendaji, Ndugu Manyerere Jackton, kwa tuzo za uandishi bora walizopata mwaka huu kwa kazi zao nzuri sana. Walistahili kabisa tuzo hizo. Naipongeza timu yote ya gazeti hili kwa kazi nzuri wanayoifanya. Kwenye makala zangu…

Read More

Ndugu Rais umetukumbusha ya Mei Dei Mbeya

Ndugu Rais, kukumbuka tuliyoyaona na kuyasikia Mbeya wakati wa sherehe za Mei Mosi au Sikukuu ya Wafanyakazi ni kujirejeshea huzuni na simanzi mioyoni! Lo! Maandamano yalikuwa marefu yale! Du! Mabango yalikuwa mengi yale, lakini yote yalibeba ujumbe uliofanana. “Tanzania ya Uchumi wa Kati Inawezekana. Wakati wa Mishahara na Masilahi Bora kwa Wafanyakazi ni Sasa’’. Du!…

Read More

Fursa ya kipekee kiuchumi kwako na familia (3)

‘Tuchangie tupate mtaji wa Sh milioni 100’   Mwaka 2004 hadi Mei 2006 nilikuwa nimetumia uwezo wangu wa masoko kusajili dawa ya kiasili ya Dental Formula Power (DFP), ambayo inasaidia kutibu na kukinga meno yasipate magonjwa na kuzuia wazee wabaki na meno yao kinywani yakiwa imara hadi wanaingia kaburini. Basi nikatumia ushawishi kwenye mamlaka za…

Read More

SADC imepiga hatua kubwa

Mwezi ujao Tanzania itakuwa mwenyeji wa kikao cha kilele cha wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (The Southern African Development Community – SADC) jijini Dar es Salaam. Ni kikao cha 39 kinachofanyika kila mwaka. Historia ya SADC ni sehemu ya historia ya harakati za ukombozi wa Bara la…

Read More

Je, kesi haiendelei kwa kukataa kupokea ‘summons’?

Summons ni wito maalumu wa mahakama. Mara zote unapofunguliwa mashitaka (unaposhitakiwa) hasa mashitaka ya  madai, basi ili uweze kufika mahakamani na kujua mashitaka yanayokukabili yaipasa mahakama kutuma wito maalumu  ambao kwa jina la kitaalamu huitwa ‘summons’. Mara nyingi wito huu unapotumwa baadhi ya watu hukataa kabisa kuupokea na wengine huupokea lakini hukataa  kuusaini.  Zipo sababu…

Read More