Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (24)
Wiki iliyopita nilihitimisha mada yangu kwa kuhoji iwapo msomaji unafahamu viwango vinavyotozwa kwenye Kodi ya Zuio. Nirudie kukiri kuwa hadi sasa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inacho kituo kimoja tu cha Elimu kwa Mlipakodi kilichopo Dar es Salaam. Baada ya kuandika makala hii nashawishika kusema TRA wanapaswa kufungua vituo vya aina hii kila wilaya nchini…