NINA NDOTO (27)

Weka malengo Ndoto inahitaji malengo. “Ndoto bila malengo ni ndoto tu, vinginevyo utaishia kupata mambo usiyoyategemea, hivyo kuwa na ndoto na kuwa na malengo,” anashauri Denzel Washington. “Malengo ni maono na ndoto vikiwa katika nguo za kazi,” anasema Dave Ramsey. Malengo ndiyo humfanya mtu aweke jitihada ya kutimiza ndoto zake, hivyo kuwa na malengo katika…

Read More

Fursa ya kipekee kiuchumi kwako na familia (2)

Mifano ya ujasiriamali yenye uthubutu lakini ikakwamishwa   Mwaka 2004 hadi Mei 2006 nilikuwa nimetumia uwezo wangu wa masoko kusajili dawa ya kiasili ya Dental Formula Power (DFP), ambayo inasaidia kutibu na kukinga meno yasipate magonjwa na kuzuia wazee wabaki na meno yao kinywani yakiwa imara hadi wanaingia kaburini. Basi nikatumia ushawishi kwenye mamlaka za…

Read More

TPA: Mizigo ya wateja iko salama bandarini

Bandari ya Dar es Salaam ni lango kuu la biashara kwa nchi yetu na nchi zote zinazotumia bandari hiyo. Kutokana na umuhimu wake, bandari inahitaji ulinzi madhubuti na wa kiwango cha hali ya juu.  Kutokana na umuhimu katika nyanja za kiuchumi na kibiashara, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeimarisha na inaendelea kuimarisha ulinzi…

Read More

Dawasa: Tunawaletea maji Dar na Pwani

Wakati wizara na taasisi za serikali zikiendelea kupambana kukamilisha matarajio ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015 – 2020, katika kuhakikisha jambo hilo linafanikiwa, Wizara ya Maji kupitia Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasa) inatekeleza miradi mitano mikubwa ambayo imelenga kuwaondolea kero ya maji wakazi wa Jiji…

Read More

Yapo madhara ya kuiga kila kitu

Binadamu anajiendeleza kwa kujifunza au kuiga kutoka kwa vizazi vilivyotangulia. Haipo jamii itakayojihakikishia maendeleo ya uhakika bila kujifunza kutoka jamii nyingine ilimradi wanajamii wanaafikiana juu ya maana ya maendeleo na yapi yawe ya kuiga ili kujiletea maendeleo. Teknolojia ya habari na mawasiliano (Teknohama) imeleta mabadiliko na maendeleo makubwa kwa binadamu duniani kote. Sababu moja ya…

Read More