Ndugu Rais tulipewa Julius Nyerere lakini hatukumjua aliyetupa

Ndugu Rais, imeandikwa kuwa Yesu Kristo kabla ya kuondoka, aliwaambia wanafunzi wake, “Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu kamwe hayatapita!’’ Miaka zaidi ya 2000 imepita tangu kifo chake, lakini ulimwengu unashuhudia maneno yake yangali yamesimama vilevile nukta kwa mkato mpaka leo. Na hivyo ndivyo zitakavyodumu fikra sahihi za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage…

Read More

Afrika inahitaji mabingwa wa kusaka umoja

Mwaka 1994 akiwa mgeni rasmi kwenye sherehe iliyofanyika Arusha ya kuvunja Kamati ya Ukombozi ya Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Mwalimu Julius Nyerere alitoa ujumbe ambao unafaa kurudiwa. Alisema waasisi wa OAU waliokutana jijini Cairo; Mei 1964 walijipangia kutekeleza majukumu mawili: kwanza, kukomboa bara lote la Afrika kutoka kwenye tawala za kikoloni na…

Read More

Kuomba kutambuliwa kama mzazi wa mtoto

Wako watu ni wazazi na wamezaa lakini wameyimwa watoto. Zipo sababu nyingi katika jambo hili. Matukio ya namna hii hayawatokei sana wanawake bali wanaume. Ni rahisi na kawaida mno mwanamume kuambiwa na mzazi mwenzake  kuwa huyu  mtoto si wako hata  kama  anajua kabisa huyo mwanamume ndiye mzazi halisi. Upo usemi wao kuwa mwanamke ndiye anayejua…

Read More

Gamboshi: Mwisho wa dunia (11)

Wiki iliyopita katika sehemu ya 10 hadithi hii iliishia katika aya inayosema: “Nilitembea kidogo kisha nikajikuta niko kwenye himaya ya watu wa ajabu. Sielewi sawa sawa kama hawa walikuwa ni watu au la. Nilipelekwa kwenye ghorofa moja na huko nikakuta nimeandaliwa chakula. Kilikuwa eti damu ya kichwa cha mtu. Sikula na waliponibembeleza ikashindikana hatimaye waliondoka….

Read More

Mbalamwezi alivyoagwa kupitia mitandao ya kijamii

Baada ya kifo cha aliyekuwa msanii nyota wa Bongo Fleva, maarufu kwa jina la Mbalamwezi aliyekuwa anaunda kundi la The Mafik,  mastaa mbalimbali wa muziki wa  Bongo Fleva nchini wametumia mitandao yao ya kijamii kama Instagram  kumuaga nyota mwenzao huyo wa muziki aliyefariki dunia Ijumaa iliyopita na kuzikwa siku iliyofuata kwao Tandika, jiijini Dar es…

Read More