Tiba ya kupumua hatari

Wakati viongozi wa dini nchini wakisisitiza umuhimu wa kuendelea kumuomba Mungu sambamba na kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi mapya ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona, COVID-19, mjadala wa gharama za matibabu nchini umeshika kasi. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari vya Gazeti la JAMHURI; hospitali za Aga Khan,…

Read More

RPC aingilia kati ubabe wa DC

Kamanda wa Polisi (RPC) Mkoa wa Tabora, Sofia Jongo, ameingilia kati ubabe wa Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Komanya Kitwala, akimtaka kufuata sheria katika uongozi wake. Hayo yamejitokeza takriban mwezi mmoja tu baada ya JAMHURI kuripoti taarifa za DC kutumia madaraka yake kuwakamata watu na kuwashitaki kwa madai ya ‘kuwachafua’ viongozi kwenye mitandao ya kijamii…

Read More

GePG inavyoyapaisha mapato ya Serikali

Mfumo wa ukusanyaji wa mapato ya Serikali yasiyokuwa ya kodi umezidi kuimarika kuthibitisha umuhimu wake katika kuongeza mapato, pongezi kwa Wizara ya Fedha na Mipango kwa kuanzisha Government e-Payment Gateway kwa kifupi GePG. Katika kuhakikisha kuwa ukusanyaji wa mapato ya ndani unaongezeka na usimamizi wake unaboreshwa, Wizara ya Fedha na Mipango imebuni na kuunda mfumo…

Read More

Mwisho wa Djodi na Azam FC hautishi sana

Nilisoma mahali Azam FC walivyoachana na fundi wao wa mpira raia wa Ivory Coast, Richard Djodi. Richard ni fundi kweli kweli, mpira ukiwa mguuni mwake hautamani autoe haraka. Lakini namba zimemhukumu. Azam FC wamemuonyesha mlango ulioandikwa Exit. Soka la kileo linahitaji wachezaji wanaokimbia kilomita nyingi kiwanjani. Haliwahitaji tena mafundi, linawahitaji wachezaji wavuja jasho jingi kiwanjani…

Read More