Walivyojipanga kuihujumu SGR
*Waibua hoja zilizokufa wakati wa Rais Magufuli, masilahi binafsi yatangulia *Mawaziri, makatibu wakuu wameelewa, watendaji wapingana na sheria ya ununuzi *Mkono wa Kenya watajwa katika vita ya biashara ya reli kubeba mizigo ya majirani *Yadaiwa kuna kampuni zimejipanga kushinda zabuni zikwamishe ujenzi Tanzania Na Mwandishi Wetu Baada ya wiki iliyopita kuchapisha habari za jinsi baadhi…