Serikali yamwaga ajira
*Wananchi kadhaa walia kuwapo dalili za ubaguzi *Mmoja adai kigezo cha kupitia JKT kinaumiza *Mbunge: Sababu ni Serikali kukosa mfumo imara DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Serikali imetangaza ajira takriban 1,450 kwa vijana kwa ajili ya kujaza nafasi kwenye taasisi zake mbili nyeti, lakini tayari malalamiko ya ‘ubaguzi’ yameibuliwa na baadhi ya waombaji. Malalamiko…